WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumatatu, 6 Novemba 2017

 23:38      No comments




 Kutoka Kushoto ni Daktrati Bingwa wa upasuaji Idani Njau, katikati ni Dk. Andrea Pusic kutoka taasisi ya Women for Women, na watatu ni C.E.O wa Aga Khan  Mkoa Sulaiman Shahabuddin, wakiongea na waandishi wa habari hawapo pichani, kuhusu mpango huo wa kuotesha matiti yaliyoathiliwa na Kansa, pamoja na urekebishaji wa viungo vilivyoharibika kutokana na majanga ya moto au  ajali.mbalimbali.

Daktari Bingwa wa upasuaji wa Hospitali ya  Aga Khan Idan Njau katikati akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu operesheni za kuotesha matiti yaliyoathiriwa na Kansa pamoja na kurekebisha viungo mbali mbali vilivyoathiriwa na majanga ya Moto na ajali mbali mbali, zoezi la operesheni hizo zinaanza leo na tayari wagomjwa wawili wamefanyiwa bila malipo yoyote.
Seraphin Lusaka Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Serena Hoteli akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani, kuhusu ushioriki wao katika mpango huo kama wadhamini

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *