WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumanne, 8 Mei 2018

 07:37      No comments






Na. Jerome Mlaki
Torinto Hot Blog

Katibu Mkuu Tume ya utumishi  wa walimu Tanzania  Winfrida Rutahindurwa, amewataka walimu wakuu kusimamia taratibu na Sheria  za kazi na kutoa muonekano haya Mwalimu yeyote atakaye enda kinyume cha Sheria  bila kujali anauhusiano gani na kiongozi yeyote serikalini.

Ameyasema hayo wakati wa MKutano wake na walimu wa Maispaa ya Ilala uliofanyika leo katika ukumbi wa Karimjee  na kuwataka walimu wa nidhamu shuleni kuto wachapa viboko Wana funzi  badala yake watumie mbinu nyingine walizo fundishwa ikiwemo adhabu ndogo ndogo.

"Wanafunzi wa kike  wanapofikia umri wa kuvunja ungo wanabadilika wanapendeza nawaomba walimu wakiume wapendeni wanafunzi wa kike ila msiwatamani wapendeni kama watoto wenu mnavyo wapenda msiwape mimba msiwabake na kukatisha ndoto zao ukibainika adhabu ni kufukuzwa kazi hatanikikupa walimu wa kike msiwatamani wavulana " Amesema.

Kwa upande wa mavazi, amewataka walimu kuvaa nguo zenye staha na kuacha kuvaa nguo zenye picha mbaya na maandishi ya kutisha.

"Utakuta Mwalimu ameaahidi Nguza yenye picha ya chui katoa Meno mnawatisha wanafunzi, mimi nakumbuka nilipo kuwa na Soma Marangu tuliandamana kwa sababu Mwalimu wetu alikuwa anavaavibaya tuka goma kuingia darasani" Amesema.

Hatahivyo amewataka walimu kufundisha wanafunzi kwa bidii ili waweze kufaulu na kuwapa mazoezi ya mitihani ya kuwapima.

"Walimu wa Biology acheni kutumia vitabu vya Nyam bali Nyangwine  ni bomu havifai kama kuna Mwalimu bado inatumia vitabu hivyo watafeli wote nilivangalia Sana nilipo kuwa wizara ya Elimu havifai" Amesema.

Amewataka pia kuacha kugoma na kuacha utoro na kuzingatia sheria za kazi huku akiagana kuwa mtumishi akidai Kisha siku tano hadi sita hajafika kazini kwa utoro anafukuzwa kazi na kuomba Kazi  upya.

"Nataka ni waambie walimu kwa awamu hii ya tano kuomba kazi upya na kupata tena sirahisi ila Nawaomba walimu wakuu mazungumzo vizuri na walimu wasiingie kwenye makosa ya kinidhamu na wakiona rufaa wakashinda msiwatamani wepesi wa kuwa shitaki" Amesema.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *