WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Alhamisi, 5 Oktoba 2017

 04:15      No comments



Na Mwandishi Wetu Joseph Lieme
Usafiri aina ya bajaji unarahisisha maisha hasa kwa wananchi ambao wanavipato vya chini,
Katika usafiri huo wa bajaji pia unasaidia vijana wengi kupata ajira kutokana na kujiari kwa njia ya kutoa huduma ya kusafirishaji abiria kutoka eneo moja kwenda lingine.

Katika matumizi ya bajaji kuna kitu ambacho vijana wengi wanatamani kama kisingekuwepo ili waweze kunufaika Zaidi na Zaidi.

 Je kitu hicho Unakijua basi endelea kufuatilia story nzima na Torinto Hot Blog.

Biashara yeyote huwa inaitaji ubunifu ili kujipatia faida zaidi  ila katika pajaji kitu kinachowaumiza zaidi watumiaji ni mafuta. 

Wanasema unapotaka kuanza safari yeyote kwa kutegemea bajaji basi ni lazima uangalie mafuta kwanza ukishahakikisha chombo hicho kina mafuta ndipo unapata uhakika wa safari jambo Hilo linasababisha kutokupata faidi nyingi ikilinganishwa na kama bajaji ingekuwa haitumii mafuta.

Unapopata bajaji ambayo haitumii mafuta yani nisawa na kufanya biashara isiyo na msingi kiasi chochote utakachopata kinaweza kukidhi hesabu ya siku na kutengeneza nafasi ya kutimiza malengo kiwepesi, kwa hiyo suala la kupatikana kwa bajaji isiyotumia mafuta ni lamsingi.

Katika hilo sasa ndipo hapo narudi juu kwamba AsanteWESTWOOD TREDEMARK COMPANY LTD.  KWA KUTULETEA BIASHARA KUBWA ISIYO NA MSINGI
  
Bajaji na Bajaza zisizotumia Mafuta 
Katika inchi ya Tanzania kuna vijiji ambavyo havina sheli kabisa au ukihitaji mafuta basi kunaulazima wa kwenda umbali mrefu ili kuyapata mafuta jambo ambalo linasababisha kuzorota kwa biashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia bajaji. 
Bajaji Isiyotumia Mafuta  

 WESTWOOD TREDEMARK  COMPANY LTD. imekuja na suluhisho la kufanya biashara katika mazingira yoyote hata kama kijiji hakina sheli na ukitaka kupata faida kubwa basi usipoteze muda Nunua bajaji ya kuchaji kwa umeme yenye uwezo wa kubeba abira saba na bajaza yenye uwezo wa kubeba mizigo na ufurahie kwa kuwa na chombo kisichotumia mafuta yaani  popote pale unaweza kufanya biashara bila wasiwasi .

 

 NI RAHISI KUINUNUA UNAWEZA TEMBELEA Email:saleswwtc@gmail.com/ woodwesttz@gmail.com

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *