WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Ijumaa, 27 Oktoba 2023

 05:45      No comments

 Na Torintohot media Blog.

Jerome Mlaki wa Dar. Tell 0789106710




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akivuta kitambaa wakati wa kuweka jiwe la msingi la uzinduzi wa mradi wa kufua nishati ya umeme wa KV 360 unaomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) uliopo Kijiji cha Masisiwe wilayani Makete mkoani Njombe.

  

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Kijiji cha Masisiwe kilichopo Makete mkoani Njombe kwaajili ya kuzindua mradi wa kufua nishati ya umeme wa KV 360 unaomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kusini Kati – Makete Dkt. Wilson Sanga wakati akikagua chanzo cha maji cha mradi wa kufua nishati ya umeme wa KV 360 unaomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) uliopo Kijiji cha Masisiwe wilayani Makete mkoani Njombe. (tarehe 27 Oktoba 2023).

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa kufua nishati ya umeme wa KV 360 unaomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) uliopo Kijiji cha Masisiwe wilayani Makete mkoani Njombe. (tarehe 27 Oktoba 2023).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akivuta kitambaa wakati wa kuweka jiwe la msingi la uzinduzi wa mradi wa kufua nishati ya umeme wa KV 360 unaomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) uliopo Kijiji cha Masisiwe wilayani Makete mkoani Njombe.

   

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wananchi wa Tandala mara baada ya kuzindua mradi wa kufua nishati ya umeme wa KV 360 unaomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) uliopo Kijiji cha Masisiwe wilayani Makete mkoani Njombe.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *