WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumanne, 6 Juni 2017

 05:37      No comments


By
on
Rais Magufuli leo Ikulu Dar es salaam amemuapisha Mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ambaye Mwenyekiti katika chama cha ACT Wazalendo.
Baada ya kumuapisha, moja ya vitu alivizungumza Rais JPM ni kuhusu ile kauli yake ya kutoteua upinzani… kauli ambayo imekua ikisambaa kwenye video fupi baada ya kumteua Mama Anna Mghwira.
Leo Ikulu Rais Magufuli amesema ‘Siku zote nimekua nikisisitiza Tanzania kwanza, wapo wengine wanasema mbona ulishazungumza kuwa hutoteua upinzani? lazima watu waelewe nilizungumza hilo mahali gani…… nilizungumza hilo nikiwa Zanzibar
Pia msimamo wa kutoteua Mbunge wa Upinzani katika nafasi zangu 10 sitafanya hivyo kweli, nimeshateua 9 nimebakiza nafasi moja na hiyo nafasi moja haitokua ya Wapinzani’
JPM alimwambia Mama Mghwira >>> ‘Wapo watakaokuonea wivu wa kwenye chama chako, wapo watakaokuonea wivu ambao walitaka nichague tu kutoka CCM
Wapo watakaokuonea wivu hata wa CHADEMA sababu sikuchagua huko pamoja na kwamba wapo wengi wananiombaomba, mpaka Wabunge lakini nimesema hapana… nataka upinzani uwepo‘ – Rais Magufuli 

VIDEO: ‘Msimamo wa kutomteua Mbunge wa upinzani uko palepale’ – RAIS MAGUFULI Full Video tazama kwa kubonyeza play hapa chini

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *