SERIKALI YAONGEZA MASHINE 4 KWAAJILI YA KUDHIBITI UGONJWA WA EBOLA MIPAKANI.
Waziri wa Afya ,Maendeleo yajamii,Jinsia ,Wazee na Watoto
Ummy Mwalimu akiongea mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
kuhusu hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kujikinga na Ugonjwa wa
Ebola uliopo nchini Congo ili usiingie
Tanzania ....
Waziri wa Afya ,Maendeleo yajamii,Jinsia ,Wazee na Watoto
Ummy Mwalimu akiongea mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
kuhusu hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kujikinga na Ugonjwa wa
Ebola uliopo nchini Congo ili usiingie
Tanzania ....
0 maoni:
Chapisha Maoni