Rais John Pombe Magufuli leo June 6 2017 Ikulu Dar es salaam amemuapisha Mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ambaye alikua mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo.
Baada ya kumuapisha, President JPM aliongea ishu mbalimbali ikiwemo ile video inayosambaa ikimnukuu kwamba hatoteua upinzani, Wabunge wa CHADEMA wanaomsumbua pamoja na mengine…. tazama hii video hapa chini
VIDEO: ‘Ni kweli January Makamba aliutaka sana Uwaziri Mkuu?’ bonyeza play hapa chini kutazama
0 maoni:
Chapisha Maoni