WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumanne, 21 Machi 2017

 02:38      No comments
Mkuu wa mkoa wa Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo akikagua mashamba ya mihogo kijiji cha Mbwara wilayani Rufiji katika ziara yake mkoani humo kuhimiza kilimo cha mazao yanayostahimili ukame. (picha na Mwamvua Mwinyi)



Mhandisi Ndikilo alisisitiza kulima mazao yanayostahimili ukame ili kuwa na chakula cha kutosha. Hata hivyo, aliambiwa na wakazi wa Mbwara wilayani Rufiji kuwa mihogo wanalima lakini tatizo ni wanyama kama ngedere, nguruwe ambao wanaharibu na kula mazao.

Mkuu huyo wa mkoa wa Pwani alisema, watumie maafisa maliasili wilaya kwa kuandika barua maalum kwa Mkurugenzi wa halmashauri na wataalam watakwenda kutatua tatizo hilo. Mhandisi Ndikilo akiwa wilaya ya Rufiji, alikagua ghala jipya la Ikwiriri AMCOS ,kukagua mashamba ya mihogo kijiji cha Mbwara.

Pia alitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za walimu Mbwara sekondari na kuzungumza na waandishi. Mhandisi Ndikilo ameendelea na ziara yake wilaya ya Kibiti na march 22 atakuwa Mkuranga.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *