WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumatatu, 7 Mei 2018

 09:06      No comments

Mnamo May 6, 2017 Tanzania ilizizima kwa taarifa za ajali iliyohusisha basi la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent ambayo iliua wanafunzi 29, dereva na walimu wawili huko katika mlima Rhotia wilayani Karatu Mkoani Arusha.

Jana May 6 ilikuwa ni kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa ajali hiyo iliyobakiza wanafunzi watatu tu waliokuwa kwenye basi hilo.

Katika kumbukumbu hiyo shule ya Lucky Vincent imefanya ibada maalumu ya kuwakumbuka wanafunzi pamoja na waalimu waliofariki kwenye ajali hiyo.

Umejengwa mnara katika eneo la mlima huo wa Rhotia ambapo ndipo gari hilo lilipopata ajali. Mnara huo una majina ya watoto wote waliofariki kwenye ajali hiyo.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *