WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumanne, 10 Oktoba 2017

 03:58      No comments


 TAGS
Tume ya Taifa ya haki za Binadamu Nchini Kenya imesema, jumla ya watu 37 walipoteza maisha baada ya kuzuka kwa machafuko ya baada ya Uchaguzi Mkuu nchini humo mwezi Agosti mwaka huu.

Tume hiyo imesema takwimu hizo zimekusanywa kipindi chote wakati machafuko hayo yakitokea kati ya tarehe 9 na 15 mwezi Agosti katika ngome za upinzani Magharibi mwa nchi hiyo na jijini Nairobi.

Imebainika kuwa, watu waliopoteza maisha walikabiliana na polisi wa kupambana na ghasia na kusababisha watu wengine 126 kujeruhiwa.

Maeneo yaliyoathiriwa wakati wa machafuko hayo ni mitaa iliyo na wafuasi wa upinzani jijini Nairobi ikiwemo Kawangware, Mathare, Kibera, Lucky Summer, Baba Dogo na Huruma.

Mtoto wa miezi sita Samantha Pendo, ni miongoni mwa watu waliopoteza maisha katika vurugu zilizozuka baada ya Tume ya Uchaguzi kumtangaza Uhuru Kenyatta kama mshindi wa Uchaguzi wa urais nchini humo.

Ripoti hiyo ya zaidi ya kurasa 600, imeeleza kuwa watu walipoteza maisha walikuwa na umri wa kati ya miaka 20 na 45

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *