WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumatatu, 5 Juni 2017

 05:46      No comments


  • Saa 3 zilizopita
Netanyahu alitaja kuwepo kwake kama wa kihistoriaHaki miliki ya pichaEPA
Image captionNetanyahu alitaja kuwepo kwake kama wa kihistoria
Mkutano kati ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na rais wa Togo Faure Gnassingbé, ulilazimika kupangwa upya baada ya mvutano uliotokea kati ya walinzi wa viongozi hao.
Mtandao wa Times of Israel ulisema kuwa mvutano huo ulitokea wakati walinzi wa Israel walikataa kuwaruhusu walinzi wa Togo kuingia mkutano ambapo viongozi hao walikuwa wakutane mjini Monrovia nchini Liberia.
Bwana Gnassingbe na Netanyahu walikuwa wanahudhuria mkutano wa Jumuiya ya nchi za Afrika magharibi (Ecowas).
Hata hivyo bwana Netanyahu alitaja kuwepo kwake kama wa kihistoria
"Hii ndiyo mara ya kwanza Ecowas kumualika kiongozi kutoka nje ya Afrika kuwahutubia. Ninatoa shukran zangu nyingi. Israel imerudi Afrika kwa njia kubwa, Netanyahu alinukuliwa akisema na gazeti la Jurusalem Post.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *