Baada ya Halima Mdee na Ester Bulaya kuadhibiwa kutohudhuria Vikao vya Bunge kwa mwaka mmoja kwa kosa la kudharau kiti cha Spika, Mbunge huyo wa Kawe ameonesha kutoumizwa na adhabu hiyo iliyotolewa leo June 5 2017.
Badala yake alitumia account yake ya Twitter kupost picha akiwa Moshi kwenye msiba wa aliyekuwa muasisi wa Chadema Ndesamburo na kuandika >>>”Tunamsindikiza jemedari wa MAGEUZI MHE PHILEMON NDESAMBURO kwenye nyumba ya milele!Porojo za DOM haziniumizi kichwa!” Halima Mdee.
VIDEO: Ulipitwa na hii ya Mnyika akitolewa bungeni?Bonyeza play kutazama
BREAKING NEWS zote na stori za mastaa utazipata kwa Reporter wako MillardAyo, hakikisha umejiunga na mimi kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Snapchat, Youtube, APP kwenye ANDROID na IOS kote huko kwa jina hilohilo la
0 maoni:
Chapisha Maoni