WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Alhamisi, 11 Septemba 2014

 10:43      No comments

Meli yavuja mafuta ikiwa hapo zaidi ya mwaka sasa, athari kubwa kutokea kwa wakazi wa Dar. Wadau watahadharisha watumiao maji na samaki wa baharini.

Meli hii ina zaidi ya mwaka katika Pwani ya Kunduchi nyuma ya Hoteli ya Kunduchi Beach.

Kwa sasa (ninapoandika) inamwaga mafuta mengi baharini. 
Uwepo wake hapo inasadikiwa kuwa mamlaka za nchi kama NEMC (Baraza la Mazingira) na hata ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira zinafahamu; sasa huenda hata huu uvujaji wanaufahamu!

Mwanzoni ilianza kukatwa vipande baada ya kushindwa kuendelea na safari yake na kuishia hapo.

Kwa kiasi kikubwa imeharibu mazingira ya hapo baharini.

CRD: JMF

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *