WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Alhamisi, 11 Septemba 2014

 10:40      No comments
Kuondoka kwa Ángel di María aliyejiunga na manchester United kumeiwekea Real Madrid rekodi mpya.

Kwamba ina kikosi bila ya kuwa na mchezaji hata mmoja kutoka nchini Argentina.
Haijawahi kutokea toka mwaka 2006, imekuwa ni lazima iwe na mchezaji kutoka Argentina.

Kihistoria imekuwa na wachezaji imara kutoka katika nchi hiyo, angalia kama Ángel di María, Fernando Gago, Ezequiel Garay na Gonzalo Higuaín.
Tokea mwaka 1911, ilikuwa na wachezaji nyota zaidi kutoka Argentina, mfano ndugu Sotero na José Eulogio ambao wametajwa kuwa kati ya wachezaji nyota zaidi 100 wa Madrid.

Usisahau anayeaminika kuwa mchezaji bora zaidi ya Madrid, Alfredo di Stéfano, anatokea Argentina.

Madrid inaaminika imekuwa moja ya timu yenye wachezaji wenye mafanikio kutoka Argentina, lakini msimu huu kikosi hicho kitakwenda bila ya Muargentina hata mmoja.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *