WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumatatu, 17 Julai 2017

 06:31      No comments


 TAGS


Baada ya Yanga kumsajisili Ibrahim Ajibu kwa dau nono la shilingi milioni 50 pamoja na kumpa usajifiri wa gari, sasa Simba nao wamejibu mapigo.
Taarifa kutoka ndani ya Simba zinaeleza kuwa mazungumzo baina ya kiungo mshambuliaji Haruna Niyonzima na Simba yamefikia pazuri.
Niyonzima ambaye amemaliza mkataba wa kuitumikia Yanga hivi karibuni pia alikuwa katika mzungumzo ya kusaini mkataba mpya kuendelea kuichezea Yanga lakini hawakuwa wamefikia kwenye hatua nzuri.
Mtu wa karibu wa Simba ametoa tamko hili baada ya kuulizwa juu ya tetesi hizo: “Ni kweli kaka Niyonzima amesaini Simba miaka miwili kwa dau nono.”
Pamoja na hivyo, rafiki wa karibu wa Niyonzima alipoulizwa juu ya suala hilo, amesema: “Siyo kweli bado hajasaini Simba ila ni kweli alizungumza nao jana.”

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *