WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumatatu, 17 Julai 2017

 06:04      No comments


 TAGS


Watangazaji wa Radio Citizen na Citizen TV za nchini Kenya, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuelekea Karbanet, kupata ajali katika eneo la Kibra jijini Nairobi.

Taarifa kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Ndege za Polisi, Rodgers Mbithi zinaeleza kwamba ndege hiyo ilianguka muda mfupi baada ya kuruka kutoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Wilson, ikiwa na wanahabari watatu waliokuwa wakielekea kwenye mkutano wa NASA, ndipo ajali hiyo ilipotokea.

Ndege hiyo, CESNA 206 ilikuwa imewabeba watangazaji wa Citizen TV ambao ni; Sam Ogina, Cameraman Mauritius Oduor na Joseph Njane wa Radio Citizen.

Majeruhi wote wanaendelea kupatiwa matibabu hospitalini.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *