Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto Duniani (UNICEF) Bibi. Stephenie Shanler akizungumza na washiriki wa mkutano maalum (hawapo pichani) wa utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi Duniani (UNICEF) Bw. Raymond Chikwanda akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano maalum(hawapo pichani) wa utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabikira Mushi akizungumza katika mkutano maalum ulioandaliwa na UNICEF na UNHCR kwa ajili ya kutoa elimu kuhusu Haki za watoto wakimbizi kwa washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini leo Mei 31,2017 mkoani Kigoma.
Afisa Ustawi wa Jamii Mwandamizi kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bw.Darius Damas akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano maalum(hawapo pichani) wa utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
Baadhi ya washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano maalum wa utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaofanyika mkoani Kigoma.
0 maoni:
Chapisha Maoni