Wachezaji wa timu ya Real Madrid wakishangilia na kombe lao mara baada ya timu yao kufanikiwa kuchukua ubingwa wa UEFA Champions League wakati walipoifunga timu ya Italia ya Juventus usiku wa kuamkia leo Juni baada ya kushinda magoli 4-1 katika mchezo uliochezwa kwenye mji wa Cardiff Wales nchini Uingereza.
Mchezaji Christian Ronaldo akiwaongoza wenzake kushangilia mara baada ya kuifungia timu yake ya Real Madrid magoli mawili katika mchezo huo mkali.
Christiano Ronaldo akishangilia na mchezaji mwenzake Sergia Ramos mara baada ya kushinda mchezo wao na Juventus ya Italia na kufanikiwa kupata ushindi wa magoli 4-1 mjini Cardiff Uingereza.
Timu ya Real Madrid wameshinda bao 4-1 dhidi ya Juventus katika fainali ya kombe la UEFA mcheze uliochezwa leo.
katika mechi hiyo Ronardo amekuwa mfungaji bora na Kumzidi Mess ambaye alikuwa anaongoza hadi kufikia mwisho wa mchezo Ronardo mabao 12 huku Messakiwa na bao.
Madrid watengeneza rekodi ya kuwa klabu ya kwanza kutetea kombe hilo tangu lilipoanza kuitwa UEFA Champions League.
0 maoni:
Chapisha Maoni