WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Jumanne, 6 Juni 2017

 06:21      No comments


David Rank (kulia)Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionDavid Rank (kulia)
Mwanadiplomasia wa cheo cha juu wa Marekani nchini China amejiuzulu kwa madai kuwa hakukubaliana na sera za mabadiliko ya hali ya hewa za Rais Donald Trump.
Wizara ya mashauri ya nchi za kigeni ilisema kuwa naibu Balozi David Rank alijizulu.
Vyombo vya habari nchini Marekani vilisema kuwa Bwana Rank alijiuzulu kufuatia tangazo la Trump wiki iliyopita kuwa Marekani ilikuwa inajiondoa kutoka kwa makubaliano ya Paris.
Hatua hiyo ambayo Trump alisema kuwa itasaidia kulinda uchumi wa Marekani ilizua hisia tofauti kote duniani.
Wizara ya mashauri ya nchi za kigeni ilisema katika taarifa kuwa bwana Rank alifanya uamuzi wa kibinafsi.
Bwana Rank ambaye aliteuliwa Januari mwaka 2016 alikuwa mwadiplomasia mkuu wa Marekani nchini China kwa kuwa alikuwa kaimu Balozi. Terry Branstand ambaye aliteuliwa na Trump atachukua wadhifa huo.
Rank alianza kutumikia wadhifa huo mwaka 1990 na ameshatumikia nchini Afghanistan, Taiwan, Ugikiri na Mauritius.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *