WELCOME TORINTO HOT MEDIA BLOG | FOR MORE INFORMATION ABOUT OUR NEWS CONTACT US CELL: +255 756 188 180 | Email: josephlieme@gmail.com| KARIBU TORINTO HOT MEDIA BLOG | KWA MAELEZO ZAIDI KUHUSU HABARI ZETU WASILIANA NASI SIMU: +255 756 188 180 | Barua Pepe: josephlieme@gmail.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Alhamisi, 11 Septemba 2014

 10:34      No comments
Mwanariadha maarufu mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius amefutiwa mashitaka ya mauaji ya aliyekuwa mpenzi wake, Reeva Steenkamp.

Pistorius kupitia mlango wa choo alimlipiga mwanamitindo huyo risasi nne ziliztoa uhai wake lakini akasema alidhani wameingiliwa na mpenzi wake alikuwa chumbani kwao.
Lakini jaji Thokozile Masipa aliyekuwa anaendesha kesi hiyo kwenye mahakama ya Pretoria, Afrika Kusini amemfutia mashitaka ya mauaji kwa madai upande wa ushahidi haukutoa vilelezo vilivyojitosheleza.
Akisoma hukumu yenye kurasa 3,000 Jaji Masipa alisemamwanariadha huyo angeweza kupatikana na hatia kama ushahidi ungejitosheleza.
Alisema kutokana na ushahidi wa kila upande inaonekana mwanariadha huyo hakukusudia kwa kuwa alijaribu kujilinda.
Hata hivyo bado Pistorius atalazimika kusubiri kipande kingine cha kesi hiyo kuhusiana na kifo hicho.

Hivyo kimsingi kuna kesi ambayo itaendelea kusikilizwa baada ya yeye kuonekana hana hatia ya mauaji.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Kurasa

Translate

Popular Posts

Blog Archive

Tangazo!

JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO?

WEIGHT MANAGEMENT

WEIGHT MANAGEMENT

SIKILIZA NYIMBO MPYA

Watembeleaji

On Facebook

Tangazo Victoria!!

Date & Time

Weight Management



CLICK THIS IMAGE

Sikiliza Clouds Radio



Sikiliza Kwanza Jamii Radio

Total Pageviews

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *